Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 24 March 2011

MSIBA KWA FAMILIYA YA MZEE NGONYANI!!!!!!!!!


DADA  ASIFIWE NGONYANI HATUNAE TENA!!.









Mpendwa /Bloga wetu da Yasinta na Familiya ya Ngonyani,Wanasikitika kutangaza kifo cha Binti/dada yao mpendwa ASIFIWE NGONYANI.Kilichotokea tarehe 23/03/2011.Nyumbani Tanzania,kwa maelezo zaidi ingia www.Ruhuwiko.blogspot.com. kwa niaba yangu na familiya yangu na wapenzi/wafuatiliaji wote wa SwahilinaWaswahili, Tunaungana pamoja na Familiya ya Ngonyani katika wakati huu mgumu na kutoa pole zetu kwenu!!!SISI TULIMPENDA LAKINI MUNGU AMEMPENDA ZAIDI!!!.

4 comments:

emu-three said...

Pole sana Dada Yasinta na wanafamilia wote, yote ni mapenzi ya muumba .Yeye katangulia sisi tupo nyuma, kwani hapa duniani ni mapitio

Mija Shija Sayi said...

R.I.P Asifiwe.

Yasinta Ngonyani said...

mmm ahsante !
Mija nawe ahsante!
Rachel ahsante kwa ushirikiano wako. Ubarikiwe

Rachel Siwa said...

Pamoja dada Yasinta!